Sunday, October 13, 2013

YANGA 2 -1 KAGERA SUGAR

Young Africans imeendeleza wimbi la ushindi na kuvunjwa mwiko katika michezo ya Ligi Kuu ya Vodacom nchini baada ya kuichpaa timu ya Kagera Sugar mabao 2-1 mchezo uliofanyika dimba la Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
Kikosi cha Young Africans leo kiliingia uwanjani kwa lengo la kusaka ushindi kwani ilikuwa na kumbukumbu ya kupoteza michezo miwili mfululizo ya Ligi Kuu katika uwanja huu wa Kaitaba.
Mrisho Ngassa alikuwa wa kwanz kuipatia timu yake ya Yanga bao la kwanza dakika ya pili ya mchezo kwa kichwa akimalizia mpira uliorushwa na Mbuyu Twite na kuwapita walinzi na mlinda mlango wa Kagera Sugar na kumkuta mfungaji aliyeukwamisha wavuni bila ajizi.
Yanga iliendelea kulishambulia lango la Kagera Sugar kupitia kwa washambuliaji wake Didider Kavumbagu, Mrisho Ngassa na Hamis Kiiza na dakika ya 25 nusura Niyonzima aipatie Yanga bao lakini shuti  lake liliokoloewa na mlinda mlango Aganthony Antony na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda.
Mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza zinamalizika, wenyeji Kagera Sugar 0 - 2 Young Africans.
Kipindi cha pili kilianza kwa kasi na dakika ya 47 ya mchezo kiungo Boniface Wambura aliipatia Kagera Sugar bao la kusawazisha baada ya mpira uliopigwa na Themi Felix kuokolewa na walinzi wa Yanga na kumkuta mfungaji.
Mara baada ya bao hilo Yanga iliendelea kulishambulia lango la Kagera Sugar kusaka bao la pili na ushindi huku waamuzi wakishindwa kutoa maamuzi mazuri kwani mipira yote kipindi cha pili washambuliaji wa Yanga walionekana wameotea hata kama ni katikati ya uwanja.
Dakika ya 57 Hamis Kiiza aliipatia Young Africans bao la pili na la ushindi baada ya mpira uliopigwa na Mbuyu Twite kuwapita walinzi wa Kagera na kumkuta Kiiza aliyewazidi wepesi na kuachia shuti kali lililotinga moja kwa moja wavuni.
Yanga iliendelea kusaka bao la tatu lakini walinzi wa Kagera Sugar waliokoa mipira ya hatari na kufanya ubao wa matokeo uendelee kusomeka hivyo hivyo.
Mpaka dakika 90 za mchezo zinamalizika, wenyeji Kagera Sugar 1 - 2 Young Africans
Kikosi cha Young Africans mara baada ya mchezo wa leo, kesho kitaondoka mjinii Bukoba kurejea jijini Dar es salaam tayari kwa kuanza maandalizi ya mchezo unaofuata dhidi ya Simba SC tarehe 20-10.2013 uwanja wa Taifa.
Young Africans: 1.Barthez, 2.Twite, 3.Luhende, 4.Cannavaro, 5.Yondani, 6.Chuji, 7.Niyonzima/Msuva, 8.Domayo, 9.Kavumbagu, 10.Ngassa, 11.Kiiza/Javu

Côte d'Ivoire, Burkina Faso win first-leg in Brazil 2014 quilifier

Didier Drogba scored as Côte d'Ivoire overcame Senegal 3-1 in Abidjan Saturday to boost hopes of a third consecutive World Cup appearance.
Côte d'Ivoire, Burkina Faso win first-legThe 35-year-old striker converted a penalty after five minutes at Stade Felix Houphouet-Boigny, Lamine Sane conceded an own goal and Salomon Kalou netted soon after half-time.
But Papiss Cisse pulled one goal back six minutes into stoppage time after the ball slipped from the grasp of goalkeeper Boubacar Barry. Turkey-based Drogba put the Ivorians ahead after Cheikhou Kouyate fouled Gervinho, whose cross nine minutes later was turned into his own net by Sane.
Roma wide man Gervinho was also involved in the third goal, sending Kalou through the middle to beat Bouna Coundoul at his near post.

Bance bounces back
Aristide Bance converted a late penalty to give Burkina Faso a 3-2 home win over Algeria Saturday in the first leg of their FIFA World Cup™ play-off.
Algeria host Burkina Faso on November 19 in the return match and the overall winners qualify for Brazil 2014. The home team suffered an early blow when defender Bakary Kone was forced to retire with a thigh injury and Steeve Yago came on.
But as the opening half passed the half hour, 2013 CAF Africa Cup of Nations star Jonathan Pitroipa began to stamp his authority on a game needing a lift. He won a penalty as the first half drew to a close when Essaid Belkalem from English second-tier club Watford floored him with a wild tackle.
But Adi Mbolhi dived left to make a two-hand save from a hard Bance kick. However, the Burkinabe did take the lead two minutes into stoppage time as Pitroipa met a Jean-Noel Lingani cross and his header landed in the far corner.
Algeria began the second half strongly and were level on 50 minutes when Sofiane Feghouli fired past Daouda Diakite from close range after Islam Slimani set him up. The cagey play of the early stages had given way to more adventurous football from both teams and Burkina Faso and Algeria scored again within five minutes.
Djakaridja Kone put the Stallions ahead once more by powering forward from midfield and firing wide of Mbolhi into the far corner. But a flying Carl Medjani header off a corner gave Diakite no chance and the teams remained level until Bance atoned for his earlier penalty miss.
Ethiopia play Nigeria and Tunisia meet Cameroon Sunday and Ghana face Egypt Tuesday and the five overall winners qualify for the 2014 tournament in Brazil.